Upatikanaji viungo

Breaking News
Ijumaa, Machi 29, 2024 Local time: 18:45

Watu 16 wamekufa Kenya katika ajali ya barabarani


Watu 16 wamekufa na wengine 28 kujeruhiwa katika ajali ya barabarani Rift Valley. Serikali leo imeanza zoezi la kuhesabu watu. Japan yaipa Kenya dola milioni 7.7za kununulia chakula.

XS
SM
MD
LG