Watu 240 katika jimbo la Rift Valley nchini Kenya wameonyesha dalili za ugonjwa hatari wa mafua ya nguruwe. Rais wa Misri leo atakutana hapa Washington na Rais Barack Obama.
Watu 240 katika jimbo la Rift Valley nchini Kenya wameonyesha dalili za ugonjwa hatari wa mafua ya nguruwe. Rais wa Misri leo atakutana hapa Washington na Rais Barack Obama.