Mawaziri Kenya wakutana kujadili tena juu ya kuundwa mahakama kusikiliza watuhumiwa wa ghasia baada ya uchaguzi. Wanaharakati 100 wauliwa katika ghasia za Nigeria.
Mawaziri Kenya wakutana kujadili tena juu ya kuundwa mahakama kusikiliza watuhumiwa wa ghasia baada ya uchaguzi. Wanaharakati 100 wauliwa katika ghasia za Nigeria.