Mahakama inayoendesha kesi ya Charles Taylor the Hague yaomba fedha zaidi ikihofia kuishiwa kabla ya kumaliza kesi. Sudan yaishutumu Chad kufanya mashambulizi ya makombora kwa anga.
Mahakama inayoendesha kesi ya Charles Taylor the Hague yaomba fedha zaidi ikihofia kuishiwa kabla ya kumaliza kesi. Sudan yaishutumu Chad kufanya mashambulizi ya makombora kwa anga.