Wataalam wa Utawala wa Kisheria na ulio bora duniani, Jumatano wameanza mkutano wa siku mbili jijini Dar es-Salaam kujadilia uboreshaji wa utawala katika mataifa barani Afrika.
George Njogopa ameangazia mkutano huo ambao umetajwa kuwa wa kwanza wa aina yake nchini Tanzania. Sikiliza sauti kwa maelezo zaidi.