Upatikanaji viungo

Breaking News
Alhamisi, Aprili 25, 2024 Local time: 16:34

FDC nchini Uganda chatishia kufanya maandamano nchi nzima


Kiongozi wa chama cha upinzani cha FDC huko Uganda, Dr.Kizza Besigye.
Kiongozi wa chama cha upinzani cha FDC huko Uganda, Dr.Kizza Besigye.

Chama kikuu cha upinzani nchini Uganda-FDC kimeitisha maandamano makubwa ya wafuasi wake yanayolenga kuilazimu serikali kuitikia ukaguzi wa lazima wa matokeo ya uchaguzi mkuu uliofanyika mwezi Februari mwaka huu.

FDC iliiandikia polisi maombi ya kutaka kuruhusiwa kuandamana inavyohitajika kisheria huku chama hicho kikitaka ulinzi wa polisi wakati wa mandamano hayo na kuonya kwamba iwapo polisi watawanyima kibali chama hicho kilisema itabidi kutumia nguvu.

please wait

No media source currently available

0:00 0:02:57 0:00
Kiungo cha moja kwa moja

XS
SM
MD
LG