Upatikanaji viungo

Breaking News
Ijumaa, Aprili 19, 2024 Local time: 16:03

Moto wawaka Benki Kuu: Magufuli ahoji kuhusu wafanyakazi hewa


Moto wawaka Benki Kuu: Magufuli ahoji kuhusu wafanyakazi hewa
please wait

No media source currently available

0:00 0:01:11 0:00

Rais Dkt. John Pombe Magufuli amemuagiza Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania Prof. Beno Ndulu kupitia upya orodha ya wafanyakazi wa Benki hiyo, na kuwaondoa mara moja wale wote ambao hawana ulazima wa kuwa wafanyakazi katika benki hiyo.

XS
SM
MD
LG