Upatikanaji viungo

Breaking News
Alhamisi, Aprili 18, 2024 Local time: 18:18

Watu16 wauawa DRC


Wilaya ya Lubero ambako shambulizi limewaua watu wapatao 16 na kuwajeruhi wengine kadhaa
Wilaya ya Lubero ambako shambulizi limewaua watu wapatao 16 na kuwajeruhi wengine kadhaa

Takriban watu kumi na sita wamefariki kufuatia mashambulizi yaliyofanyika katika kijiji cha Miriki, wilaya ya Lubero, kwenye eneo la Kivu Kaskazini, Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo. Sikiliza taarifa ya mwandishi wa Sauti ya Amerika austere Malivika, akiwa huko Kivu Kaskazini;

please wait

No media source currently available

0:00 0:02:57 0:00
Kiungo cha moja kwa moja

XS
SM
MD
LG