Upatikanaji viungo

Breaking News
Ijumaa, Machi 29, 2024 Local time: 10:38

Vijana Kenya waingia katika sekta ya kilimo


Vijana Kenya waingia katika sekta ya kilimo
please wait

No media source currently available

0:00 0:02:11 0:00

Kila mwaka vyuo vikuu nchini Kenya vinatowa wahitimu kwenye soko ya ajira lichaa ya kiwango kikubwa cha ukosefu wa ajira miongoni mwa vijana nchini humo. Baadhi ya vijana hao wametambuwa kilimo kinaweza kuwa na manufaa kama biashara au ajira nyenying yeyote ile.

XS
SM
MD
LG