Upatikanaji viungo

Breaking News
Jumanne, Machi 19, 2024 Local time: 09:41

Ebola yazusha wasi wasi Marekani


Ebola yazusha wasi wasi Marekani
please wait

No media source currently available

0:00 0:04:37 0:00

Rais Barack Obama amewahakikishia tena Wamarekani kwamba uwezekano wa kutokea mlipuko wa Ebola hapa nchini ni mdogo sana. Hii inafuatia kutangazwa kwamba muuguzi wa pili ameambukizwa virusi hivyo vya hatari aliyekua anamtibu mgonjwa wa Ebola, kutoka Liberia Bw. Duncan.

XS
SM
MD
LG